Monday, January 8, 2018

NAMNA YA KUZUI KUKU ANAYEDONOA MAYAI YAKE

NAMNA YA KUZUI KUKU ANAYEDONOA MAYAI YAKE
NAMNA YA KUZUI KUKU ANAYEDONOA MAYAI YAKE
NAMNA YA KUZUI KUKU ANAYEDONOA MAYAI YAKE: Kuku wengi wamekuwa na tabia za kudonoa mayai ambayo wameyataga wenyewe au ambayo yametagwa na kuku wengine, hivyo pindi uonapo tabia hii katika kuku wako unatakiwa kufanya yafutayo ili kukomesha tabia hii:
  1. Kuweka idadi ya kuku inayolingana na sehem ulionayo.
  2. Usizidishe mwanga.
  3. Banda liwe safi.
  4. Weka vyombo vya kutosha.
  5. Wape lishe bora.
  6. Wape kuku shughuli kwa kuwawekea bembea na sehem ya uwazi kwa ajili ya mazoezi.
  7. Kata midomo ya juu.
  8. Epuka ukoo wenye tabia hizo.

No comments:

Post a Comment

Fahamu mbinu za kuongeza thamani nyama

  Safari ya kuongeza thamani nyama ya mifugo huanzia shambani kwa usimamizi wa ufugaji na uzalishaji. Lishe bora ni muhimu kwa wa ufugaji ...