VYAMA VYA USHIRIKA VYA MSINGI MANYARA VYATEMBELEWA NA BENKI YA KILIMO

unnamed
Katibu wa Homari AMCOS, Bw. Abdul Msangi (kulia) akiwakaribisha wageni Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania walipotembea AMCOS hiyo.
A
Mwenyekiti wa Homari AMCOS iliyopo katika Kijiji cha Masakta, Bibi Magreth Mgeni (kushoto) akizungumza na wageni kutoka TADB walipotembea AMCOS hiyo. Wanaomsikiliza ni Mwenyekiti wa RIVACO, Bw. Lohay Langai (katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (kushoto).
A 1
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (aliyesimama) akizungumza na wajumbe wa Bodi ya Homari AMCOS wakati walipotembea vya ushirika vya msingi vya mkoa wa Manyara ili kuangalia uwezekano wa kuwekeza mkoani humo.
A 2
Mkurugenzi wa Biashara na Mikopo wa TADB, Bw. Augustino Chacha (aliyesimama) akitaja fursa za mikopo inayotolewa na Benki ya Kilimo wakati wa kikao cha pamoja kati ya TADB na Bodi ya Homari AMCOS wakati walipotembea vya ushirika vya msingi vya mkoa wa Manyara ili kuangalia uwezekano wa kuwekeza mkoani humo.
A 3
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Homari AMCOS iliyopo katika Kijiji cha Masakta, Bibi Magreth Mgeni (kushoto) wakikagua mahindi katika moja ya mashamba waliyoyatembelea.

Comments

Popular Posts