Skip to main content
VYAMA VYA USHIRIKA VYA MSINGI MANYARA VYATEMBELEWA NA BENKI YA KILIMO
Katibu
wa Homari AMCOS, Bw. Abdul Msangi (kulia) akiwakaribisha wageni Benki
ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania walipotembea AMCOS hiyo.
Mwenyekiti
wa Homari AMCOS iliyopo katika Kijiji cha Masakta, Bibi Magreth Mgeni
(kushoto) akizungumza na wageni kutoka TADB walipotembea AMCOS hiyo.
Wanaomsikiliza ni Mwenyekiti wa RIVACO, Bw. Lohay Langai (katikati) na
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (kushoto).
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (aliyesimama)
akizungumza na wajumbe wa Bodi ya Homari AMCOS wakati walipotembea vya
ushirika vya msingi vya mkoa wa Manyara ili kuangalia uwezekano wa
kuwekeza mkoani humo.
Mkurugenzi
wa Biashara na Mikopo wa TADB, Bw. Augustino Chacha (aliyesimama)
akitaja fursa za mikopo inayotolewa na Benki ya Kilimo wakati wa kikao
cha pamoja kati ya TADB na Bodi ya Homari AMCOS wakati walipotembea vya
ushirika vya msingi vya mkoa wa Manyara ili kuangalia uwezekano wa
kuwekeza mkoani humo.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Francis Assenga (kulia) akiwa na
Mwenyekiti wa Homari AMCOS iliyopo katika Kijiji cha Masakta, Bibi
Magreth Mgeni (kushoto) wakikagua mahindi katika moja ya mashamba
waliyoyatembelea.
Comments
Post a Comment