MRADI WA UFUGAJI SUNGURA KIBIASHARA.
KIBANDA CHA KUFUGIA
Tunasaidia
kwenye ujenzi wa vibanda bora vya sungura, kwagharama ya Tshs 65,000/= tu kwa kimoja cha ukubwa
wa futi 2.53 , chenye
uwezo wa kufugia
Sungura mmoja mkubwa
wakuzalisha pamoja na watoto wake kwa mwezi mmoja baada
yakuzaliwa yaani kipindi chote cha unyonyeshwaji, na kibanda cha saizi hiyo pia
kinaweza kufugia hadi sungura kumi wa umri wa miezi mitatu.
Tunashauri
ujenzi wa vibanda vitatu kwa kila jike (kupata nafasi ya watoto wanaomaliza
kunyonya kwani jike huzaa kila baada ya miezi 2) na pia kibanda kimoja kwa kila
dume.
MBEGU
Tunawataka wakulima wetu kufuga mbegu
bora na halisi ya sungura watakaotupa nyama bora kwa soko letu, na
tunawauzia kwa gharama
ya Tshs 80,000/= kwa
kila jike aliyetayari
kubeba mimba na
Tshs 40,000/= kwa kila dume
mwenye umri wakuzalisha.
MAFUNZO YETU
MAFUNZO YETU
Tuna
mafunzo mara kwa
mara pia, na zaidi kuhusu
ujezi wa mabanda
bora, Utunzaji na
ufugaji kwa ujumla, na kuhusiana
na maswala ya magonjwa na namna yakuzuia.
Tuna
saini mkataba na mkulima/mfugaji (kwa
ada maalum kila
mwaka) ambao utamuhakikishia mfugaji/mkulima soko kwa kipindi chote cha mkataba pale sungura wake wanapokuwa tayari kwa
kuuzwa.
Tunanunua sungura katika umri wa miezi
4-5. Kwa umri huo sungura mwenye afya aliyelishwa vizuri anapaswa kuwa na uzito
wa kilo 3-4, na kilo moja ya sungura akiwa hai tunamnunua kwa Tshs 8,000/=.
Tafadhali
wasiliana nasi kwa maelezo zaidi.
http://mkulimajembemfugaji.blogspot.com/p/ontact.html
Tafadhali
zingatia mafunzo kwa mtunzaji wa sungura wako/au kama ni wewe mwenyewe ni ya
muhimu kujifunza mambo ya msingi unapoanza mradi nasi,
Paleunapohitaji
ushauri wa kitaalam utagharimia nauli ya mtaalamu atakufundisha UFUGAJI BORA WAKISASA kwa vitendo.
ufugo zuri sana nami nitajuwa je
ReplyDelete