JINSI YA KUANDAA CHAKULA CHA KUKU
JINSI YA KUANDAA CHAKULA CHA KUKU : Somo hili ni mahususi kwa ajili
ya wafugaji wote wa kuku, au kwa wale wote ambao wanapenda kufuga kuku.
Kwani mfumo huu ni mzuri na humsaidia mfugaji kuweza kutengeza chakula
ambacho kina virubishio vyote ambavyo ni muhimu kwa kuku.
JINSI KUANDAA CHAKULA CHA KUKU KUANZIA WIKI LA 1- HADI WIKI LA 8.
Mahitaji.
CHAKULA CHA KUKU, KUANZIA WIKI LA NANE NA KUENDELEA.
Mahitaji
JINSI KUANDAA CHAKULA CHA KUKU KUANZIA WIKI LA 1- HADI WIKI LA 8.
Mahitaji.
- Pumba 60kg
- Mahind ya kuparaza 10kg
- Mashudu alizeti 10kg
- Dagaaa 15kg
- unga wa mifupa 5kg
- Chumvi ½
- premix ¼
CHAKULA CHA KUKU, KUANZIA WIKI LA NANE NA KUENDELEA.
Mahitaji
- Pumba ya mahindi yenye chenga- kg 38
- Mashudu ya alizeti- kg 7.5
- Mabaki ya dagaa – kg 1.5
- Chokaa ya kuku – kg 0. 5
- Unga wa mifupa – kg 0.5
- Lusina – kg 2
- Chumvi – kg 0.25
Comments
Post a Comment